KILA DEMU NA UTAMU WAKE

Mchambuzi :- KAISIKI 

Muandishi : - Zubagy Akilimia 

Kitabu :- Kila Demu Na Utamu Wake  




Wale vijana wakaangaliana mmoja akamtaka Vero amfate
Bibiye nae hakuwa na wasiwasi akaingia ndani kwa kupitia Getini, baada kuingia yule kijana mwingine akafatia kwa nyuma
Akachukuwa ndizi moja na kuanza kula huku akiisifia tamu.
Vero akatua Beseni lake na kukaa chini huku wale vijana wakila Mara huyu ndizi yule Chungwa
Ghafla kupitia kile kisu alichokuwa akitembea nacho bibiye
Akawekewa Shingoni huku akiamrishwa
Avue nguo zote.
SONGA NAYO
SASA
Veronica alibaki kutetemeka kwa hofu akataka kupiga kelele akazibwa mdomo. Kuonyesha kuwa wale jamaa hawatanii wakaanza kumvua sketi na chupi kumbe bibiye alikuwa katika siku zake
Breed, washkaji hawakujali kitu
wakaitoa ile kitu inayozuia damu na kuanza kumbaka. Veronica alilia kwa uchungu, lakini kilio chake hakuna aliyeweza kukisikia. Ndani ya dakika kumi vijana walikuwa washakizi haja zao
na kumtaka anyanyuke aende zake.
Nae hakuwa na jinsi kujikaza akatoka ndani ya nyumba ile huku kikundi cha Nzi kikimfata kwa nyuma damu zilikuwa zikimtoka.
Hivi kila mwanamke mwenye kufanya biashara hii amewahi kukutwa na maswahibu haya au Mimi tu?
Wanavumilia vipi unyama kama huu
Laiti ningejuwa nisingekubari kutembeza matunda ningebaki nyumbani!"
Njia nzima Veronica alikuwa akiwaza na kujiuliza maswali, watu walimshangaa kwajinsi alivyokuwa akinuka mzoga si mzoga yani
Ananuka vibaya mno yote sababu ya kubakwa akiwa katika hedhi. Kibaya zaidi hakupewa hata nafasi ya kujisafisha. Kila mtu aliyepishana nae alikimbia mbio na kumpisha njia. Ghafla watu wakajishika vichwa na midomo na kutamka neno Mungu wangu, Veronica alikuwa karushwa hewani baada kugongwa na Gari aina ya Pickup akaenda kutua juu ya jiwe na kufikia kujibamiza kichwani.
************
Wakati huo Japhet alikuwa yupo maskani akiendelea kufanya biashara zake
“oyaa Japhet hii simu umechenji
Password au nimesahau tu?"
“nishachenji"
“nitajie basi mwenzako nataka kuangalia matokeo!"
“matokeo ya nini kama form4 siku hizi mpaka uwende Mahakamani hakuna cha mitandao tena"
“nicheki ya shule kwani umeambiwa mi Mwanafunzi nataka kuangalia Manchester united na Arsenal
nani kapigwa"
“Simu haina bando"
“bando nitaweka wee nitajie basi"
“sikia nikwambie kitu Chodo wewe kama Mdau mkubwa wa Manchester si ungeenda kuangalia
kwenye kibanda umiza. Kila siku kuangalia matokeo wakati tokea ligi imeanza mpaka sasa unaingia mzunguko wa pili hujawahi, kwenda kuangalia hata nusu Game unajiita Manchester damu
Shabiki utakuwa wewe,"
Japhet aliongea huku akiichukuwa simu yake na kuiweka mfukoni. Sio kama alikuwa hataki
kutoa Password na kumpatia mshikaji acheki matokeo lahasha kuna zile picha
Alizompiga Lisa mchana wa leo kwahiyo hakutaka zionekane na mtu yeyote yule.
Ndio maana akafanya kubadirisha Pattern.
**********
Dereva wa gari ambayo ilimgonga Veronica alifunga break na kufungua mlango wa gari akashuka mbiombio akaenda kumbeba bibiye na kumpakiza kwenye gari Wananchi walikuwa wamejazana kwa kulizunguka gari walitaka kumpiga Dereva, sema wakasita kufanya hivyo.
Kutokana na kumuona akifanya jitihada za kumpatia msaada binti huyo.
“jamani kama kuna yeyote anaemfahamu huyu binti naomba tuongozane pamoja kuelekea hospitali"
Aliongea dereva yule.
Kuna mmama na kijana mmoja wakajitolea na kuelekea hospitali.
“hii ni mikosi gani tena nakutana nayo?"
Alikuwa akijiuliza kijana yule huku akiwa makini kwenye usukani wakaweza kufika katika hospitali
Ya Mwananyamala na kupokelewa kwa haraka
“Robert vipi huyu binti imekuwaje akawa hivi?"
Aliuliza Daktari kwa kumwita yule jamaa jina lake ni Robert bila shaka wanafahamiana.
“sijui hata nikujibu kitu gani Doctor Tariq kwa kifupi tu embu fanya juu chini kuokowa uhai wa huyu binti!"
Aliongea Robert huku akijifuta jasho kwa kutumia kitambaa chake kidogo,
Hakukuwa na muda wa kupoteza Veronica akawahishwa chumba cha upasuaji. Kutoka na hali yake kuwa
Mbaya kichwa kilikuwa kimepasuka upande wa kisogoni.
Na kufanya Damu ivilie kwenye fuvu. Kama hazitofanyika jitihada za haraka Binti anaweza kupoteza maisha muda wowote ule.
Robert alikuwa amekaa kwenye Benchi maeneo ya mapokezi akisubiria majibu juu ya mgonjwa wake. Akaitazama saa inasema sasa ni majira ya saa tatu usiku, akavuta pumzi kwa ndani na kuzishusha
“opsii"
Akanyanyuka na kumsogelea yule mama aliyeongozana nae. Akamshika begani na kumtikisa
“Mama!"
Yule mama akakurupuka na kuitikia maana alikuwa amesinzia
“Abee"
“kwanza pole kwa uchovu binafsi Mimi nitawaacha hapa naelekea nyumbani ila kesho Asubuhi na mapema nitakuja"
“Sawa baba basi usiku mwema"
Robert hakutaka kuwaacha hivihivi akaingiza mkono mfukoni na kutoa Wallet na kumkabidhi yule Mama kiasi cha pesa. Kama shillingi
Laki moja na nusu.
Kisha akaondoka.
*********
Yapata majira ya saa tatu na nusu usiku mpaka muda huo Japhet alikuwa bado yupo maskani akipiga Story haikuwa kawaida yake. Maana ikifika saa kumi na mbili jioni anaondoka muda umezidi sana kwake saa moja tu. Lakini siku hiyo kapitiliza
Akiwa anaendelea kupiga story akaikumbuka kauli ya Baba yake alipomwambia kuwa. Kila mwanamke na utamu wake. Ni kauli ambayo aliipotezea sasa hapo ameikumbuka sijui kitu gani kilimfanya aikumbuke kauli hiyo!
“Hivi Chidy kwani ukiwa na Mwanamke unapata raha gani?"
Japhet akauliza swali ambalo liliwafanya washkaji waanze kucheka.
Kiukweli Japhet na utukutu wake wote mpaka anatimiza umri wa miaka Ishillini na tano hakuwahi kufanya tendo la zinaa ndio Maana alipoanza kumfatilia Lisa aliishia kumuhonga pesa
Pasipo kumtongoza yeye akafahamu
Lisa ameshakuwa wake kumbe sivyo.
“Ha!ha!ha!ha!ha!
Japhet mwamba unataka kusema hufahamu raha ya kuwa na Mwanamke?"
Chidy nae akauliza huku akitawaliwa na kicheko
“oyaa kausheni basi mnacheka kama Mwanamke kigori
aliyeshikwa maziwa"
Gilbert akawaka na kutaka kila mtu anyamaze ikabidi washkaji watulie kimya
“Sikia nikwambie kitu mwamba maana nafahamu wewe bado ni Bikra,,,
Hahahahaha tehe!tehe!tehe"
Kitendo cha Gilbert kuanza kumwambia vile Japhet na kusema ni bikra washkaji wakaanza kucheka tena kitendo kilichomfanya Japhet achukie kishezi. Na kukusanya mizigo yake.
“nyie watoto wa Malaya vipi embu ondokeni"
Gilbert akang'aka na kumshika mshikaji begani akimtaka atulie kwanza.
“Sasa kwakuwa hujawahi kukutana kimwili na mwanamke asikwambie mtu Ngono ina utamu wa ajabu. Yani kama ikitokea siku ukionja hutoweza kuiacha,"
Gilbert alitoa ufafanuzi kidogo
“Je kila Demu na utamu wake au wote utamu wao ni sawa?"
“hapana utamu unatofautiana kama nyama ni ileile tofauti yao viungo tu
Utakuta Demu mwingine ni Bwawa yani ukichovya tu utasikia pwahapwaha,,,
Mwingine chake kina Joto ukiingiza utahisi upo kwenye mvuke fulani hivi. Mwingine cha kwake Mnato ukiingiza kitu kina nata au mbonyeo. Utakuwa mwanamke Gogo huyu kuzungusha kiuno hawezi kabisa sema ukimkuta kwenye Mdundika au rusha roho utamuona hodari wa kukatika. Kimbembe kitandani hawezi kitu akijilaza kajilaza na mkao aliokaa ndio huohuo ukimuweka mwingine utasikia unaniumiza,"
Wakati Gilbert akiendelea kutoa darasa kwa Japhet ambaye asubuhi yake alikataa kumuuzia Bange sema mchana tu wakapatana.
“Japhet"
Ilikuwa sauti ya bibiye
Lisa akimwita Japhet bila shaka alimfata nyumbani kwake hakumkuta ndio akaamua kuja Mtoni pasipo kohofia chochote
“Japhet"
“Naam"
“embu njoo huku juu"
Basi akainuka na kuvaa begi lake huku akiwatakia usiku mwema Washkaji
“Sasa mwamba hiyo bikira yako usiende kuivunjia kwa Sister angu!"
Alisikika Gilbert akiongea kwa sauti ndogo kidogo ili
Dada yake aliopo kwa juu asisikie. Washkaji wakacheka mbavu hawana
“sasa chief umetoa Darasa hatimae Dada yako anaenda kufanyiwa majalibio inauma sana hii,"
Gilbert hakutaka kukaa tena pale nae akaondoka
“Japhet unataka kuzifanyia kitu gani hizo picha tafadhali nakuomba uzifute, nipo tayari kufanya lolote nakuomba usizisambaze picha zangu zifute.
Nipo tayari kukupa chochote kile niambie tafadhali unataka nini?"
“je upo tayari kufanya mapenzi nami?"
Japhet akauliza swali juu ya swali
“Ndio nipo tayari si utanipa simu picha nizifute mwenyewe ehee?"
“ndiyo"
Basi hakukuwa na mjadara tena wakaelekea nyumbani kwa kina Japhet walipofika tu wakaingia chumbani mwanaume akaenda kuoga huku akimuacha Bibiye chumbani sema alimfungia kwa nnje asije akatoroka na simu funguo akaenda nayo chooni.
Huku ndani Lisa alikuwa akihangaika kutoa password lakini wapi akaandika sijui
Japhet Mara Bange sijui Vero
Mwishoe akashindwa. Akasubiria kusuguliwa
Mwanaume baada kutoka kuoga alienda mpaka kwenye chumba cha Vero akagonga hodi zaidi ya Mara tatu lakini kimyaa Veronica hakuitikia akagusa kitasa cha mlango ulikuwa umefungwa. Akafahamu bila shaka Dada yake atakuwa kalala kutokana na uchovu wa biashara ya kutembeza matunda. Masikini wee kumbe hakufahamu kama Dada yake hakuweza kurejea nyumbani. Na muda huo yupo hospitali akipigania uhai wake. Basi akaingia chumbani kwake na kukaa kitandani
Wakabaki kuangaliana tu kiukweli Japhet alikuwa ni mgeni katika mambo hayo asije akaingiza sikioni au puani.
Nawaza kwa sauti tu.
Basi Lisa alianza kumsogelea Japhet na kumshika shika mara kichwani mara sikioni sijui shingoni yani mikono lainii ikimsisimua Japhet na kujihisi yupo dunia nyingine.
Lisa huku akiupeleka mdomo wake kwa Japhet mwanaume nae hakuzubaa akaudaka mdomo wa bibiye utasema kinda la Njiwa na kuanza kunyonyana denda kwa pupa. Lisa akaushika mkono wa Japhet na kuupeleka kwenye kitumbua chake, kidole cha kati kikaandaliwa na kuingia ndani kabisa.
Utamu wa kidole ulimzidi Lisa alianza kukata viuno kukikatikia kidole. Huku akiugulia utasema ana kidonda au amekula pilipili. kazi ya kidole ilifika kikomo baada ya kitumbua kuwa na unyevu wa kutosha,hapo mtalimbo ulihitajika kutumika ambapo Lisa akaushika na kuukalia taratiibu akajiingiza kwenye kitumbua chake kinono chenye mashavu utasema uyoga “mmmh,,,,hapo hapooooooooasss
sss,,mmh,,,,"
Aliongea kwa sauti ya kukatakata huku akiguna pindi Mtalimbo ulipokuwa ulipokuwa ukizama taratibu kwenye kitumbua chake na kwa jinsi ulivyokuwa mkubwa basi lilimkuna kila kona na kumfanya ahisi msisimko wa ajabu.
Usiku huo ulikuwa mwendo wa Bandika bandua mpaka kunakucha.
Ndipo Lisa akapewa simu azifute picha zake mwenyewe,
“baby embu angalia hii nimetokelezea ehee utasema nipo Ulaya"
Lisa aliongea huku akimuonyesha hiyo picha aliyokuwa kakaa juu ya tofari kajimanua manuu.
Japhet akatabasamu tu
“ehee nimekumbuka kitu mpenzi embu nipige zingine nikiwa kitandani"
Japhet akabaki kutoa macho kodoo asiamini masikio yake
Lisa akalala kifudifudi pale kitandani na kufanya makalio yake makubwa yaumuke kwa juu.
Hakika mtoto alikuwa kapendelewa kila idara kama udongo basi aliumbiwa ule wa kwanza kwanza. Tena akazidishiwa kwa nyuma na kuifanya
Big ass kutikisika hata akihema tu.
Japhet akajiuliza
Si kanipa penzi kisa zifutwe picha zake imekuwaje tena anataka nimpige zingine.
“Baby nipige basi"
Mtoto aliongea kwa sauti iliyotokea puani
Asubuhi ile kama ujuavyo kunakuwa na kiubaridi fulani
Mtalimbo wa Japhet ulikuwa umesimama ngangari
Akafanya kama kumsogelea bibiye basi Lisa akageuka upande wa ukutani. Eti anaona aibu kupigwa picha. Kumbe mwenzie hata hiyo Kamera haikuifungulia
Lisa akashtukia
Mwanaume akimpandia mgongoni
huku kitu
Kikipenya juu chini makalio yake
“Assssssssss,,,,,ooooooossahaaaaaa,,,
Lisa alianza kukatika huku akiupokea mchi mzito
Je nini kitaendelea?"
Je
Veronica atapona nani atakuja kutoa taarifa kwa Japhet
Mama yao yuko wapi
Usikose
KILA DEMU NA UTAMU WAKE
KUMBUKA HII CHOMBEZO
NI KIONJO TU............

KILA DEMU NA UTAMU WAKE KILA DEMU NA UTAMU WAKE Reviewed by Maktaba on October 01, 2017 Rating: 5

1 comment:

Powered by Blogger.